Thursday, August 31, 2017

WANAHABARI WAPIGWA MSASA MAANDALIZI YA MSIMU WA MVUA ZA OKTOBA HADI DESEMBA 2017(VULI) YALIFANYIKA TAREHE 30 AGOSTI 2017, TMA-UBUNGO PLAZA

Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt Agnes Kijazi na wakurugenzi wa divisheni mbalimbali katika picha ya pamoja na wanahabari waliohudhuria mafunzo ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza
Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt Agnes Kijazi akizungumza na wanahabari waliohudhuria mafunzo ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza
Bw. Henry Mabumo kutoka ITV akichangia jambo kwenye  mafunzo ya wanahabari ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza
Bw. William Shechambo wa gazeti la Uhuru akichangia jambo kwenye  mafunzo ya wanahabari ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza
Bw. Joachim Mushi kutoka blog ya the. habari.com na mwenyekiti wa 'bloggers' akichangia jambo kwenye  mafunzo ya wanahabari ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza
Bw. Costantino Pius kutoka redio Wapo akichangia jambo kwenye  mafunzo ya wanahabari ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza
Baadhi ya wanahabari waliohudhuria mafunzo ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza
Baadhi ya wanahabari waliohudhuria mafunzo ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza wakijadili mada katika makundi

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...