Friday, February 17, 2017

TMA YASHIRIKI MAONESHO YA KONGAMANO LA KISAYANSI LA BONDE LA ZIWA VICTORIA TAREHE 15-16 FEBRUARI 2017-MWANZA

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi) Dkt. Leonard M. Chamuliho katika picha ya pamoja na washiriki wa kongamano kutoka taasis zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi), katika hoteli ya Malaika, Mwanza.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...