Friday, June 17, 2016

MJUMBE WA KAMATI KUU YA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIA DKT. AGNES KIJAZI ASHIRIKI MKUTANO WA 68 WA KAMATI KUU YA UTENDAJI YA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI(WMO, EC-68), GENEVA, USWISI.

Picha za pamoja wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Sitini na Nane wa Kamati Kuu ya Utendaji ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani  (WMO-EC 68), tarehe 15-24 Juni 2016, Geneva, Uswisi ambapo Dkt. Agnes Kijazi-Mkurgenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa, ambaye pia ni Mwakilishi wa Kudumu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani na Mjumbe wa "WMO Excecutive Council" anashiriki. Dkt. Kijazi anashiriki katika Mkutano huo pamoja na Meneja wa Mahusiano ya Kimataifa wa TMA, Bw. Wilbert Muruke.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...