Monday, June 6, 2016

MHE. PROF. MBARAWA ATEMBELEA KITUO CHA HALI YA HEWA-IRINGA

Meneja wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Mkoani Iringa Bw. Haji Musa Usantu akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa alipokagua Mamlaka hiyo. 
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Mwenye Kofia) akitazama moja ya kifaa kinachopima hali ya hewa ya udongo alipokagua kiwanja cha Ndege cha Nduli Mkoani Iringa.Kulia ni Meneja wa (TMA) Mkoani humo Bw. Haji Musa Usantu. 
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Iringa (Nduli), Bi. Hanna Kibupile alipokikagua. 

Picha kwa hisani ya Kitengo cha Mawasiliano- Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...