Thursday, May 26, 2016

HALI YA HEWA TUGHE YAPATA UONGOZI MPYA


Uongozi mpya wa TUGHE katika picha ya pamoja.
Baadhi ya wanachama wa TUGHE wakiomba kura ili kuweza kupata nafasi mbali mbali za uongozi sambamba na zoezi la uchaguzi.
Wanachama wa TUGHE (Pichani) wachagua viongozi wapya katika uchaguzi uliofanyika tarehe 24 Mei 2016 kwenye ukumbi wa Makao Makuu-TMA. Viongozi waliochaguliwa ni pamoja na Mwenyekiti Bi. Aurelia Mwakalukwa, Katibu Bw. Benjamin Bikulamchi, Mwenyekiti wa kinamama Bi. Zainab Gumbo, Katibu wa kinamama Bi. Hamida Hassan na wajumbe.

 Na. Monica Mutoni

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...