Wednesday, March 23, 2016

TMA-MAKAO MAKUU YAADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA HALI YA HEWA DUNIANI KWA KUPANDA MITI

Mkurugenzi Mkuu-TMA, Dkt. Agness Kijazi akiongoza zoezi la kupanda miti katika kiwanja cha TMA kilichopo maeneo ya Sinza (Simu 2000) kama ishara ya ushiriki wa zoezi la upandaji miti nchini, tukio hilo limeenda sambamba na kilele cha maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani kwa kushirikiana na Wakala wa Misitu Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...