Wednesday, March 23, 2016
TMA-MAKAO MAKUU YAADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA HALI YA HEWA DUNIANI KWA KUPANDA MITI
Mkurugenzi Mkuu-TMA, Dkt. Agness Kijazi akiongoza zoezi la kupanda miti katika kiwanja cha TMA kilichopo maeneo ya Sinza (Simu 2000) kama ishara ya ushiriki wa zoezi la upandaji miti nchini, tukio hilo limeenda sambamba na kilele cha maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani kwa kushirikiana na Wakala wa Misitu Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment