Monday, August 10, 2015
NANENANE 2015:TMA YANG'AA KATIKA TAASISI ZINAZOTOA HUDUMA KWA JAMII
Washiriki kutoka TMA wakishangilia ushindi wa kwanza waliopata kati ya taasis shiriki zinazotoa huduma kwa jamii katika maonesho ya NaneNane 2015 Kanda ya Mashariki-Morogoro
Mkurugenzi Mkuu TMA Dkt. Agnes Kijazi akizungumza na wanahabari katika maonesho ya NaneNane 2015 Nyanda za Juu Kusini.
Cheti cha ushindi wa kwanza kwa TMA katika ushiriki wa NaneNane 2015 Nyanda za Juu Kusini
Washiriki wa TMA katika maonesho ya NaneNane 2015 Nyanda za Juu Kusini wakishangilia ushindi wao kwa pamoja
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment