Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt. Hamza Kabelwa akisoma hotuba ya Dkt. Agnes Kijazi katika ufunguzi wa uboreshaji wa huduma za hali za hali ya hewa ukanda wa Ziwa Nyasa uliyofanyika tarehe 11 Mei 2015 katika ukumbi wa mikutano wa Kyela Resort, Kyela-Mbeya.
Mgeni rasmi na mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe.Dkt. Thea Ntara ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kyela akihutubia hotuba ya Mhe. Abbas Kandoro wananchi walioshiriki katika ufunguzi wa uboreshaji wa huduma za hali za
hali ya hewa ukanda wa Ziwa Nyasa uliyofanyika tarehe 11 Mei 2015 katika
ukumbi wa mikutano wa Kyela Resort, Kyela-Mbeya.
Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi TMA Dkt. Pascal Waniha akitoa neno la shukrani kwa niaba ya TMA kwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa uboreshaji wa huduma za hali za
hali ya hewa ukanda wa Ziwa Nyasa uliyofanyika tarehe 11 Mei 2015 katika
ukumbi wa mikutano wa Kyela Resort, Kyela-Mbeya.
Baadhi ya washiriki wa ufunguzi wa uboreshaji wa huduma za hali za
hali ya hewa ukanda wa Ziwa Nyasa uliyofanyika tarehe 11 Mei 2015 katika
ukumbi wa mikutano wa Kyela Resort, Kyela-Mbeya.
Mgeni rasmi akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari baada ya kufunga rasmi uboreshaji wa huduma za hali za
hali ya hewa ukanda wa Ziwa Nyasa uliyofanyika tarehe 11 Mei 2015 katika
ukumbi wa mikutano wa Kyela Resort, Kyela-Mbeya.
Washiriki wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi mara baada ya ufunguzi wa uboreshaji wa huduma za hali za
hali ya hewa ukanda wa Ziwa Nyasa uliyofanyika tarehe 11 Mei 2015 katika
ukumbi wa mikutano wa Kyela Resort, Kyela-Mbeya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment