Mkurugenzi Mkuu TMA Dkt. Agnes Kijazi ambaye alikuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa warsha ya wadau kuhusu huduma zitolewazo na Mamlaka ya Hali ya Hewa na Uanishaji wa matakwa ya wadau,Hoteli ya Blue Pearl, Dar es Salaam, Tarehe 24 Machi 2015.
Mkurugenzi wa Huduma za Utafiti na Matumizi TMA, Dkt. Ladislaus Chang'a akitoa ufafanuzi kwenye warsha
ya wadau kuhusu huduma zitolewaza na Mamlaka ya Hali ya Hewa na
Uanishaji wa matakwa ya wadau,Hoteli ya Blue Pearl, Dar es Salaam, Tarehe
24 Machi 2015.
Mkurugenzi Mkuu TMA Dkt. Agnes Kijazi, Mkurugenzi wa Huduma za Utafiti na Matumizi TMA, Dkt. Ladislaus Chang'a na Mkurugenzi wa Huduma za Utabiri Dkt. Hamza Kabelwa katika
ufunguzi wa warsha ya wadau kuhusu huduma zitolewaza na Mamlaka ya Hali
ya Hewa na Uanishaji wa matakwa ya wadau,Hoteli ya Blue Pearl, Dar es
Salam, Tarehe 24 Machi 2015.
Baadhi ya washiriki wa warsha ya wadau kuhusu huduma zitolewaza na Mamlaka ya Hali
ya Hewa na Uanishaji wa matakwa ya wadau,Hoteli ya Blue Pearl, Dar es
Salaam, Tarehe 24 Machi 2015.
Mgeni rasmi katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha ya wadau kuhusu huduma zitolewaza na Mamlaka ya Hali
ya Hewa na Uanishaji wa matakwa ya wadau,Hoteli ya Blue Pearl, Dar es
Salaam, Tarehe 24 Machi 2015.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment