Tuesday, February 10, 2015
SHULE YA JESHI LA WANAMAJI-KIGAMBONI YATEMBELEA OFISI ZA HALI YA HEWA JNIA
Shule ya Kijeshi ya Wanamaji Kigamboni watembelea ofisi za JNIA kwa ajili ya mafunzo. Pichani ni mkuu wa shule hiyo akikabidhi zawadi ya fulana kwa Kaimu Meneja wa Usafiri wa Anga na Maji Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania ndugu John Mayunga. Pembeni ni ofisa wa zamu(Duty Forecaster) ndugu Maria Cathbert
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment