Wednesday, December 31, 2014

MKURUGENZI MKUU TMA ATOA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI -FEBRUARI 2015

Mkurugenzi Mkuu wa TMA akiongea na vyombo vya habari kuhusiana na mwelekeo wa utabiri wa mvua za Januari hadi Februari 2015
Wanahabari wakichukua habari kuhusiana na mwelekeo wa utabiri wa mvua za Januari hadi Februari 2015 katika ukumbi wa mikutano wa TMA
NB: Kupata taarifa ya kina kuhusiana na utabiri huo ingia www.meteo.go.tz


No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...