Monday, August 4, 2014

MAMLAKA YA HALI YA HEWA KUTOA ELIMU KWA JAMII KUPITIA MAONESHO YA NANENANE

Muonekano wa Banda la maonesho ya NaneNane 2014 kanda ya Kati-Dodoma
Washiriki wa maonesho ya NaneNane 2014-Dodoma wakirusha mapulizo angani, mapulizo hayo yamekuwa kivutio kikubwa kwa wananchi katika maonesho mbalimbali
Washiriki wa maonesho ya NaneNane 2014-Dodoma wakifanya zoezi la utoaji elimu kwa umma (reharsal) kama njia mojawapo ya kujijengea uwezo katika kutoa elimu sahihi na yenye manufaa kwa wananchi kulingana na kauli mbiun ya mwaka huu.

KAULI MBIU YA MWAKA HUU NI:'Matokea makubwa sasa, Kilimo ni Biashara'



No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...