Washiriki wa maonesho ya NaneNane 2014-Dodoma wakifanya zoezi la utoaji elimu kwa umma (reharsal) kama njia mojawapo ya kujijengea uwezo katika kutoa elimu sahihi na yenye manufaa kwa wananchi kulingana na kauli mbiun ya mwaka huu.
Monday, August 4, 2014
MAMLAKA YA HALI YA HEWA KUTOA ELIMU KWA JAMII KUPITIA MAONESHO YA NANENANE
Washiriki wa maonesho ya NaneNane 2014-Dodoma wakifanya zoezi la utoaji elimu kwa umma (reharsal) kama njia mojawapo ya kujijengea uwezo katika kutoa elimu sahihi na yenye manufaa kwa wananchi kulingana na kauli mbiun ya mwaka huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment