Monday, July 14, 2014

TMA yaendelea na usimikaji (Installation) wa radar ya pili ya hali ya hewa huko Kiseke-Mwanza

Wahandisi kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa wakisimamia kwa ukaribu shughuli nzima ya usimikaji wa Radar ya hali ya hewa

1 comment:

  1. Hongera TMA kwa kazi nzuri mnayofanya ya kuhakikisha wananchi wanapata taarifa za hali ya hewa zilizoboreshwa kutoka kwenye vifaa vya kisasa kama Rada.

    ReplyDelete

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...